Wednesday, July 25, 2012

WAHI FOMU ZA KUJIUNGA NA CHUO KWA PUNGUZO KUU LA ADA

Zikiwa zimesalia siku chache hadi kufikia mwishoni mwa mwezi huu wa saba ambapo usajili rasmi wa wanafunzi wapya kujiunga na chuo utafungwa, chuo chetu cha TANZANIA E. COLLEGE kinawakaribisha wanafunzi wa siha zote kuja kujiunga ili kurahisishiwa suala la ajira kama muhula na kaulimbiu yetu isemavyo, SULUHISHO LA AJIRA, fomu zimeshaanza kutolewa kwa bei punguzo ya shilingi elfu kumi ambapo kwa hiyo hiyo elfu kumi utapatiwa kitambulisho cha chuo, usajili kamili, mafunzo ya kompyuta na vitendo, mawasiliano na pia uanachama wa chuo kamili, ufaulu huzingatiwa hapa chuoni ingawa kipaji ndio kitu kikuu ambacho chuo huangalia katika udahili wa wanafunzi wapya, ada hutofautiana kulingana na kozi ambayo mwanafunzi husika anaisoma, kwa jinsi mpangilio wa chuo ulivyo kwa muhula huu ni kwamba, itapofikia mwezi Agosti kutakuwa na ziara KUBWA ya kimafunzo kuelekea bagamoyo na pia katika ziara hiyo kutakuwa na kuhudumiwa kwa kila kitu na chuo ila tu mwanafunzi atachangia kidogo, tunawakaribisha wote kwa ajili ya kubadilisha mlolongo wa maisha yenu.
IMETOLEWA NA MKUU WA CHUO,
TANZANIA E. COLLEGE.

No comments:

Post a Comment