Friday, July 6, 2012

Si ndoto za Alinacha kweli hizi?

Lengo la serikali sio baya kama tuonavyo, sisi wanafunzi wa hapa kwa uchunguzi wetu tunahisi hili litakuwa suluhisho la foleni lakini hizi barabara za juu kweli kwa gharama hizo tulizoambiwa itawezekana kweli??
Kwa maneno mengine ni kuwa eti kinachofanywa hapo juu ni maandalizi ya muonekano kama huu, sisi ni wanafunzi tu wa chuo, labda kama kuna anayejua atuongezee ufahamu wa hili, picha ya juu ni maeneo ya manzese darajani ambapo ujenzi unaendelea ila hii ndo muonekano wa baadaye kwa sehemu zenye foleni kwa Dar.

No comments:

Post a Comment