Wednesday, December 12, 2012

TAARIFA KUHUSU MSIMU WA LIKIZO

Tanzania Education College inapenda kuwapa mkono wa pongezi wanafunzi wote ambao wanaumalizia mwaka huu wa 2012 kwa mafanikio makubwa juu ya kuongeza uelewa katika vichwa vyao, hili lisingewezekana bila juhudi kubwa inayofanywa kwa mchango kati ya utawala pia waalimu kwa ujumla ambao ni mstari wa mbele katika mafanikio ya hilo, serikali yetu tusingependa kuiacha nyuma katika hili pia,  mwaka ulianza na kila mmoja alivuna kile alichopanda na sasa mwaka unakwisha ikiwa wengi wamefanikiwa kutimiza ndoto zao hata si kwa asilimia zote lakini kwa asilimia kubwa, taasisi nyingi za elimu hutumia kipindi hiki cha mwisho wa mwaka kwa ajili ya mapumziko lakini limekuwa tofauti kabisa na utamaduni wetu, hapa elimu ni kila kitu na tunaitanguliza mbele hadi hapo mwanafunzi atakapohitimisha masomo yake ndipo mapumziko yake yataanza, hivyo basi kwa taarifa hii tunawakumbusha wanafunzi kuwa masomo ya kompyuta yataendelea kwa full time na pia uandishi habari na utangazaji vivyo ambapo mazoezi ya utafutaji habari sehemu mbalimbali yataendelea na studio itakuwa wazi masaa 24 kwa ajili ya watangazaji, kozi ya ualimu chekechea pia nayo itaendelea ingawa kutakuwa na mapumziko madogo kwa siku za sikukuu tu lengwa, Tanzania Education College inawatakia mapumziko mema ya kipindi cha sikukuu wazazi wote na ndugu wa wanafunzi wetu.
Imetolewa na:
MKUU WA CHUO,
TANZANIA EDUCATION COLLEGE.

Tuesday, November 6, 2012

POLE SANA USTAADH SHOMARI.

Mungu akupe roho ya imani kwa msiba wa baba mlezi wako uweze kupita katika kipindi hiki kigumu,
unafahamu zaidi yetu umuhimu wa mzazi wako huyo ambapo hata sisi tuko pamoja nawe katika kipindi hiki hadi hapo utakapokuwa umevuka, tunakutakia safari njema kuelekea huko Morogoro kwa shughuli nzima za mazishi na tunaamini mwenyezi mungu atakutangulia na kukusimamia hadi utakapokuwa nasi tena huku Dar es salaam, huna haja ya kusikitika kwa kuwa,
innalillah lainnalillahi laajuuun!

Thursday, October 25, 2012

OFA YA MUHULA WA KOZI FUPI KAMA UNAVYOONEKANA.


TANZANIA EDUCATION COLLEGE

HOLIDAYS SEASON OFFER
(SHORT COURSES)

PROGRAMS KIT
S/N
COURSE NAME
COURSE CONTENTS
DURATION
FEES


 1.


ENTREPRENEURSHIP
(UJASIRIAMALI)
-For Small & Medium businesses management.
-Opening Businesses and creativity for growing Business.
-Customer Care & Skills Worldwide


2 Months


200,000/-



2.


JOURNALISM & BROADCASTING
(Theory & Practical)
 -Mass communication, events management and conflicts resolution, public relations are included for a journalist also a presenter in a magazine, radio or television but also photojournalists in achieving their daily coverage.



Daily Practices.
3  Months



350,000/-


3.


HOTEL MANAGEMENT
-A student will be able to prepare different dishes, serve also receiving customers and all maintenance of hotels to 5 star qualities.


2 Months + Field



250,000/-


4.

NURSERY  SCHOOLS TEACHING
-Ability to manage an academy, kindergarten & Nursery school, preparing curriculum, arrangement of voice & sound also training.

2 Months + Field

250,000/-



5.


COMPUTER
COURSES
(Theory & Practical)



-ICT <IT> [Communication  Technology]


2 Months


150,000/-


6.


CLEARING & FORWARDING MANAGEMENT
-International trade in all stockyards and warehouses are learnt including time setting in shipment, but law of transportation, carriages and agents with documentations & declarations, insurance, communication and full business finance will be well covered.  



3 Months



250,000/-

v  English for Communication is included in every session of the above.
v  Form IV leavers for 2012 will have special attention on offers.
v  All the above programs include 5 - 7 days attendance + 2 -7 hours a day.
v  Registration  5,000/-
·         Hostel fee 30,000/- per Month.


NB: All payments are done through our Bank account:
TANZANIA EDUCATION COLLEGE,
Account No: 020803950652,
AKIBA COMMERCIAL BANK.
OR
AIRTEL MONEY (0786 22 33 43), TIGOPESA (0714 670 490) &  MPESA(0754 52 52 10)

QUALIFICATIONS:
Any.

OUR (offer) INTAKES FOR THE ACADEMIC YEAR 2012 - 2013
1st intake
2nd  Intake
3rd  Intake
5th November 2012
3rs December 2012
7th January 2013


P.O. Box 41852, Tel: 022 242 13 20,  Fax:: 022 24213 20,
Mob:  0714 670 490,  0754 52 52 10,  0786 22 33 43,
TEC HOUSE, Kimara Baruti, Morogoro Road, Dar es salaam.
Weblog: www.elimutanzania.blogspot.com
Reg. No: 157934.


 

Thursday, October 18, 2012

PROGRAM ZA CHUO KWA 2012 - 2013




S/N
COURSE NAME
COURSE CONTENTS
CERTIFICATE
DIPLOMA



1.



 HUMAN RESOURCES
-Knowing and be familiar on solving all employment obstacles, entrepreneurship while managing, training, law combating employees & employers also relation among workers in work places.



600,000/-
12 Months


1,400,000/- + Field + Research.
24 Months


 2.


BUSINESS
ADMINISTRATION
-All business particles in small, medium or huge organizations are done, business communication, law of business and also marketing, purchasing and selling of products worldwide.


600,000/-
12 Months


1,400,000/- + Field + Research.
24 Months



3.

JOURNALISM & BROADCASTING
(Theory & Practical)
 -Mass communication, events management and conflicts resolution, public relations are included for a journalist also a presenter in a magazine, radio or television but also photojournalists in achieving their daily coverage.


750,000/- + Field + Daily Practices.
12  Months


1,400,000/- + Field + Daily Practices + Research.
24 Months


4.


FULL HOTEL MANAGEMENT
-A student will be able to prepare different dishes, serve also receiving customers and all maintenance of hotels to 5 star qualities.


345,000/- + Field
6 Months



800,000/- + Field
1 Year


5.


NURSERY  SCHOOLS TEACHING
-Ability to manage an academy, kindergarten & Nursery school, preparing curriculum, arrangement of voice & sound also training.

345,000/- + Field
6 Months


700,000/- + Field
1 Year



6.



COMPUTER
COURSES
(Theory & Practical)

-ICT <IT> [Communication  Technology]
400,000/-
5 Months



800,000/-
1Year

-IT –BOP [Basic Operating Programs]
150,000/-
3 Months

-SAP  [Simplified Accounting Package]
160,000/-
2 Months

-Graphics Designing
4 Months
200,000/-


7.


CLEARING & FORWARDING MANAGEMENT
-International trade in all stockyards and warehouses are learnt including time setting in shipment, but law of transportation, carriages and agents with documentations & declarations, insurance, communication and full business finance will be well covered.  


450 ,000/-
9 Months


700,000/- + Field
12 Months
 








·         Registration 10,000/-
·         Hostel fee 40,000/- per Month.




NB: All payments are done through our Bank account:
TANZANIA EDUCATION COLLEGE,
Account No: 020803950652,
AKIBA COMMERCIAL BANK.
OR
AIRTEL MONEY, TIGOPESA & MPESA on below numbers.



QUALIFICATIONS:
Secondary education and above.




OUR INTAKES FOR THE ACADEMIC YEAR 2012 - 2013
Mini-intake
1st  Intake
2nd Intake
3rd Intake
7th November 2012
14th January 2013
13th May 2013
13th September  2013