Tuesday, July 3, 2012

VICHWA VYA TANZANIA E. COLLEGE

Mmoja wa wanafunzi wa Tanzania E. College Bw. Sauti Byego akiwa studio za chuo hiki akikandamiza maujuzi ya sauti, ila sio sauti jina lake, twamaanisha "voice", wanafunzi wa chuo hiki hufanya mazoezi kwa vitendo na hii ni jadi yetu.

No comments:

Post a Comment