Thursday, July 5, 2012

RAIS WA SERIKALI YA ROYAL COLLEGE ndani ya TANZANIA E. COLLEGE...

Huyu ni rais wa serikali ya wanafunzi wa Royal College of Tanzania chini ya Mzazi Chami, cha ajabu alikuwa akishangaa jinsi watoto wa Tanzania E. College walivyokuwa wakikamua ndani ya outdoor studio, kazoea kujifungia ndio maana kila kitu aliona kipya.........

No comments:

Post a Comment