Tuesday, July 3, 2012

MAMAA MIPASHO, HAPANA CHEZEA WEWEE.......

Hakuna asiyejua kuhusu huyu mtu hapa Tanzania E. College, ndiye mchaga wa kwanza kutangaza taarab kwa Afrika Mashariki hii, ukitaka umpate msikize kwenye 93.2 FM na kipindi cha mcharuko wa Pwani, kila jumamosi jamani, unamtaka huyu?

No comments:

Post a Comment