Friday, July 13, 2012

WANAFUNZI TANZANIA E. COLLEGE WARIPOTI FIELD TENA

Wanafunzi wengine tena wa kozi ya Hotel Management wameripoti field katika hoteli ya MBEZI GARDEN maeneo ya Mbezi Beach jijini Dar es salaam, wanafunzi hao ni bi. Sauda Kika na Bw. Felson Mpenela, wakati Ndg. Elias Rashid yeye ameripoti kwa field pia jijini Tanga katika hoteli ya NYUMBANI, chuo kinawatakia mafanikio mema na wamalize salama mafunzo yao.

No comments:

Post a Comment