Thursday, July 5, 2012

Sasa huyu naye, Miriam weee???

Yaani kama kalazimishwa vile, kwani ameambiwa kuwa akisomea kozi ya ualimu wa chekechea ndo awe hivi? Lazima kadanganywa na mtu, ndio poziiii au ni ghafla kashtushwa na flash???

No comments:

Post a Comment