Tuesday, July 10, 2012

HII NDIO TSHIRT YA CHUO CHETU.

Kwa bei ya shilingi elfu kumi tu unapata mng'aro huo hapo juu ambao ni lazima uvaliwe kwa siku za jumatano na ijumaa hapa chuoni, kuanzia utengenezaji wake hata kitambaa ni kiwango cha juu sana ambacho hata wanafunzi waliotangulia kuwa nazo wamesifia kuwa hakuna kama hizi kwa jiji hili, pata nawe yako moja ungare na wenzako!

Huu ni muonekano wa Mng'aro wa nyuma wa tshirt zetu za chuo, inapendeza ukiwa ndani yake, ni kitambaa kinachohimili na pia kitambaa chake maalum kwa ajili ya kukabiliana na hali za hewa mbili, twamaanisha joto na baridi, jionee mwenyewe.

No comments:

Post a Comment