Wednesday, June 27, 2012

Wanafunzi wa ualimu wa chekechea wasifia ufundishaji

Wanafunzi wote wanaosomea kozi ya ualimu wa chekechea wamesifia jinsi mwalimu jimson Siwalozi alivyokuwa akiwamwagia material darasani, mwanamama Amina Abdallah aliofunguka na kutamani kubaki darasani hadi jioni angalau apate machache zaidi ya mtaalamu wa taaluma hiyo.

No comments:

Post a Comment