Friday, June 29, 2012

WANAFUNZI WA BROADCASTING WAFANYA KUFURU

Wanosomea kozi ya utangazaji wamefanya kufuru katika uandaaji wa kipindi cha leo ambapo kila jumamosi hufanya mafunzo kwa vitendo, kufuru hiyo ni kujiandalia wenyewe vipindi vyao na kuja mapema kupita kawaida wakiwa na morali ya kuchuana katika siku hii ya leo, ebu ngoja tuone maana muda bado sana eti......

No comments:

Post a Comment