Tuesday, June 26, 2012

KARIBUNI KATIKA MUHULA MPYA WA CHUO

Chuo chako cha Tanzania E. College kinakukaribisha katika muhula wake mpya ambapo maandalizi yake rasmi ndio yanaendelea na fomu zinachukuliwa kwa fujo kwelikwqeli maana hapa kwetu ajira si jambo la kutania, hakuna aliyemaliza hapa kwetu halafu akabaki mtaani, jaribu ujionee sasa na hakuna mazingaombwe ila ni mpangilio mzuri tu wa kimenejimenti mwanafunzi, usikubali kuendelea kutaabika huko mtaani nawe.

No comments:

Post a Comment