Friday, June 29, 2012

SASA HUYU BALOTELLI SIJUI NDIO NINI HIVI?

Balotelli au Mariiiiio kama waitaliano wamwitavyo, katoka katika vituko vya kitoto akaingia katika vituko vya kikubwa, aliona alipofunga goli la pili mwache tu aokote kadi ya njano kwa ajili ya kuvua jezi, sasa sisi wana Tanzania E. College tumeonelea jezi yake ishonewe na bukta pamoja tuone atavua vyote?

No comments:

Post a Comment