Friday, June 29, 2012

Lauryn Hill aweza tupwa lupango

Jana Kwenye Mahakama moja ya New Jersey ndio kesi ya Lauryn Hill iliendelea kusikilizwa  ambapo staa huyu wa muziki yuko kwenye hatari ya kwenda jela kwa miaka mitatu kutokana na kukwepa kulipa kodi ya dola za kimarekani milioni 1.8 kati ya 2005 and 2007, ambapo atatakiwa kuanza kutumikia kifungo chake November mwaka huu.
According to AP ni kwamba Staa huyu amekutwa na hatia baada ya kukiri kwamba alishindwa kulipa kodi kitu ambacho ni kosa la kisheria, ilikua aanze kutumikia kifungo October lakini amesogezewa mpaka November ili apate time ya kulipa hizo pesa imsaidie kukwepa kwenda jela

No comments:

Post a Comment