Monday, January 21, 2013

NI BATA KWA KWENDA MBELE

Mara moja moja ikitokea baada ya masomo kula bata si mbaya, kama umwonavyo ustaadh hapa na vibinti kama Tamal na Desderia.
Hizi nyama huwa zinaliwa hivi kweli?
Sura za huruma na upole tele, haya kama ni kweli vile.................
Mh, tuliona style nyingi kweli za kuogelea,,,,,,,,,, stay tuned kwa mengine makubwa.


No comments:

Post a Comment